mtoto-mtanzania-wa-miaka-16-alivyoongea
MTOTO MTANZANIA WA MIAKA 16 ALIVYOONGEA KATIKA MKUTANO WA UN. NA KUISHANGAZA DUNIA
Getrude alianza kwa kuwasalimia waalikwa huku ikiripotiwa Maraisi 60 walihudhuria na kisha akaeleza kuwawakilisha vijana na watoto ambapo alizungumzia mabadiliko ya tabia nchi, hatari yake na kwamba wamekua wakifikisha ujumbe kwa Wananchi juu ya mabadiliko hayo kama anavyoonekana kwenye hii video hapa chini.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni